Tarehe iliyowekwa: August 15th, 2025
MSIMAMIZI wa Uchaguzi 2025 ngazi ya Majinbo ya Igunga na Manonga, Hamisi Hamisi amemkabidhi fomu ya kugombea ubunge mgombea wa jimbo la Manonga kwa chama cha N.R.A. Mhe. Lwatakubi Sospeter Kabungulu.
...
Tarehe iliyowekwa: August 15th, 2025
MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Bi. Selwa Abdalla Hamid amewaasa Watumishi wanaokwenda kushiriki michezo iliyoandaliwa na Shirikisho la Michezo Serikali za Mitaa ...
Tarehe iliyowekwa: August 5th, 2025
MSIMAMIZI wa Uchaguzi Jimbo la Igunga na Manonga, Ndug. Hamisi H. Hamisi amewaasa Wasimamizi Wasaidizi ngazi ya kata kuendeleza utendaji wao wa kiuadilifu, uaminifu, uzalendo, uchapakazi na uaminifu.
...