• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe |
Igunga District Council
Igunga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Utumishi na Utawala
      • Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Uvuvi na Mifugo
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Ugavi
    • Kata
      • Our Wards
  • Vivutio vya Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha Ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Utawala
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
      • UKIMWI
      • Kamati Ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Madiwani
      • Meeting With Chairperson
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkatati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Vituo vya Habari
    • Press Release
    • Video za Shughuli za Ofisi Kitaifa
    • Makitaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi

MHE. DC. SAUDA MTONDOO AWATAKA MADIWANI KUTEMBEA KIFUA MBELE UTEKELEZAJI ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IGUNGA

Tarehe iliyowekwa: May 16th, 2025

MKUU wa Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Mhe. Sauda Mtondoo amesema wanasimama kifua mbele kwa kutekeleza Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kutokana na ushirikiano ambao Baraza la Madiwani walimpatia.

Mhe. DC. Sauda ametoa kaluli hiyo Jumatano Mei 14, 2025 wakati wa Kikoa cha Baraza la Madiwani lililofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri hiyo mjini hapa.

Alisema wametekeleza ipasavyo Ilani hiyo kwa sababu ya kuwepo wa Madiwani katika ngazi ya kata ambako kila fedha iliyolelekezwa katika maeneo yao waliisimamia vema.

‘’Kila mmoja anacho cha kwenda kusema serikali imefanya hivi na mimi nimesimamia hivi, hivyo tusimame kifua mbele kuyaeleza yele mazuri yote tuliyofanya kwa lengo la kuhakikisha wananchi wanaendelea kutupa imani,’’ alisema.

Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Lucas Bugota alimshukuru Rais Dk. Smaia Suluhu Hassan kwa kuwateulia viongozi ambao wameendelea kuwa wasikivu na kufanikiwa kuleta maendelo ya Halmashauri.

Alisema wao watapambana kurudi na kuhakikisha kura za Rais Dk. Samia zinapatikana za kishindo huku akiwaomba wateule wake wamuhakikishie kuwa kura zote za Igunga ni zakwake.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Bi. Selwa Hamid aliwashukuru Madiwani kwa namna ambavyo wamewaongoza na kuahidi kuyatekeleza yote waliyoyaagiza kwa sababu yeye ni muumini wa kutenda haki.

Mbali na shukrani hizo, Bi. Selwa alisema shukran za pekee zimuendee Mhe.  Rais Dk. Samia ambae katika awamu ya uongozi wake alielekeza Igunga fedha za miradi ya maendeleo zaidi ya sh. 41.4 bilioni.

‘’Hakika tunakiri miradi mingi tumeitekeleza na inatoa huduma kupunguza adha na changamoto kwa wananchi wetu katika kata 35,’’ alisema.

Katika hatua nyinge, Selwa aliwapongeza Madiwani na Wataalamu kwa kufanikisha Halmashauri hiyo kupata Hati Safi katika mwaka 2020 hadi 2021, 2021 hadi 2022 na 2022 hadi 2023 huku akidokeza huenda na mwaka 2023 hadi 2024 watapata Hati Safi.

Pia, alisema Halmashauri imepiga hatua katika ukusanyaji wa mapato ya ndani kwa kukusanya sh. 4.8 sawa na asilimia 90.27 ambapo ilikua imekusudia kukusanya sh. 5.393 bilioni kwa mwaka wa fedha 2024 hadi 2025.

==== //// ==== //// =====





Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II October 12, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III October 12, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA III October 15, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MHE. DC. SAUDA MTONDOO AWATAKA MADIWANI KUTEMBEA KIFUA MBELE UTEKELEZAJI ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IGUNGA

    May 16, 2025
  • MHE. DC. SAUNDA MTONDOO APIGA MARUFUKU KUWEKA MAJI, MAWE NA MCHANGA LAINI KWENYE PAMBA

    May 16, 2025
  • DED IGUNGA AWATAKA WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI KUDUMISHA UADILIFU BUSARA NA HEKIMA KUWAHUDUMIA WANANCHI

    May 10, 2025
  • MHE. RC. PAUL MATIKO CHACHA NA MHE. DC. SAUDA MTONDOO WAICHANGAIA IGUNGA UNITED SH. MILIONI 1.8

    April 22, 2025
  • View All

Video

Maadhimisho ya siku Wanawake Kata Simbo ya SIMBO wilayani Igunga.
Video Zaidi

Viungio vya haraka

  • Hotuba
  • Pakua Fomu
  • Zabuni
  • Matangazo ya kibiashara
  • Matukio

Kurasa zinazofanana

  • Watumishi Portal
  • Poralg
  • Public Service Management
  • Tabora Region Website
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Huduma

Hatimiliki@2017Halmashauri ya Wilaya ya Igunga. Haki zote zimehifadhiwa